Nahodha Lionel Messi akimpongeza mshambuliaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kuifungia mabao yote mawili Barcelona dakika za 58 na 84 ikiilaza Inger Milan 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo wa Kundi F, bao la Inter Milan lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jazz's Donovan Mitchell Rips Refs After Ejection vs. 76ers: 'F--king Ridiculous'
-
Donovan Mitchell was not pleased following Wednesday's 131-123 overtime
loss to the Philadelphia 76ers ...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment