Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League and the FA agree to tear up the football calendar with FA
Cup Final on league weekend and replays and the winter break killed off
amid Champions League expansion
-
FA Cup weekends in the fourth and fifth rounds, plus the quarter-finals,
will also now be totally free of Premier League matches. This also applies
to FA C...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment