• HABARI MPYA

    Thursday, October 03, 2019

    CHELSEA YAPATA USHINDI WA UGENINI, YAIPIGA LILLE 2-1 UFARANSA

    Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAPATA USHINDI WA UGENINI, YAIPIGA LILLE 2-1 UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top