Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Companhia De Saneamento Basico Do Estado De Sao Paulo (SBS) Q1 2026
Earnings Call Highlights: ...
-
Companhia De Saneamento Basico Do Estado De Sao Paulo (SBS) reports robust
revenue and income growth, while navigating decreased water production and
risin...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment