Bondia Mfaransa Sofiane Takoucht (kushoto) akienda chini baada ya kuchapwa konde na Muingereza Josh Warrington katika raundi ya pili ya pambano la ngumi za kulipwa uzito wa Feather usiku wa jana ukumbi wa First Direct Arena mjini Leeds, England. Warrington alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya pili na kutetea taji la IBF kwa mara ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gates Foundation pledges to tackle inequality in Covid vaccine distribution
-
There is an end in sight to the costs of the Covid-19 pandemic, not only
the lives, but the economic impact, the educational impact, the mental
health im...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment