Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
Australian Open star Taylor Fritz opens up about protecting his glamorous
influencer girlfriend during scary break-in
-
Fritz took action to safeguard his girlfriend Morgan Riddle when trouble
broke out at 4am.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment