Washambuliaji wa Paris Sant Germain, Neymar (kulia) na Kylian Mbappe (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Guingamp kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Jumamosi Uwanja wa Stade du Roudourou mjini Guingamp. Neymar alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 53, baada ya Nolan Roux kutangulia kuifungia Guingamp dakika ya 20, kabla ya Mbappe kufunga mawili dakika za 82 na 90
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment