Beki Mzanzibari, Ally Ally akibinuka tik tak kuokoa katikati ya wachezaji wa Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 3-3
Kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto akimtoka Vitalis Mayanga wa Stand United
Mshambuliaji wa Simba, Mrundi Laudit Mavugo akiwa anagaagaa chini baada ya kupitiwa ya Ally Ally wa Stand United
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kulia) akimiliki mpira mbele ya Bigirimana Blaise wa Stand United
Mshambuliaji wa Simba, Juma Luizio akiwatoka wachezaji wa Stand United
Mshambuliaji Mghana wa Simba SC, Nicholaus Gyan akipiga mpira licha ya kubanwa na wachezaji wa Stand United
Mshambuliaji Mrundi wa Simba, Laudit Mavugo akimiliki mpira dhidi ya Ally Ally wa Stand United
Beki Ismail Gambo anayecheza kwa mkopo kutoka Azam FC akiuwahi mpira dhidi ya Shiza Kichuya wa Simba
Kikosi cha Stand United kilichoanza jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana Uwanja wa Taifa
Brisbane Lions stars have 'split up with their partners due to what
happened on end-of-season trip to Las Vegas'
-
The Lions went undefeated at the Gabba for the entire 2023 season but have
already lost two home matches this year, leaving fans scratching their
heads ove...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment