Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akisikitikia kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates London. Hiki ni kipigo cha pili mfululizo Man City wanaipa Arsenal ndani ya siku tano baada ya Jumapili kuifunga 3-0 katika fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No time for a rest! England face nightmare run of FOUR games in just 12
days during hectic 2026 World Cup
-
England's games will essentially be crammed into a week less because they
have been drawn in Group L and will not play game one until six days after
the Wo...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment