Kocha wa Arsenal, Mfaransa Arsene Wenger akisikitikia kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Manchester City ya kocha Mspaniola, Pep Guardiola usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates London. Hiki ni kipigo cha pili mfululizo Man City wanaipa Arsenal ndani ya siku tano baada ya Jumapili kuifunga 3-0 katika fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB The Show 24 Review: Gameplay Videos, Features, Modes and Impressions
-
MLB The Show 24 from developer San Diego Studio is a little akin to a
championship club re-tooling its roster for continued success. The
long-running series…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment