Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 33 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Arsenal usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Man City ambayo Jumapili iliifunga 3-0 tena Arsenal katika fainali ya Kombe la Ligi Uwanja wa Wembley, yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 15 na David Silva dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool haven't scored from open play in over SIX hours of football...
Have the Reds lost their killer edge at the worst time? And is Klopp's
farewell in danger of turning sour?
-
With so much to play for, Liverpool were poised to make this season one to
remember and deliver an epic send-off for their manager. But the past
fortnight ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment