Nyota wa Manchester City, Leroy Sane akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la tatu dakika ya 33 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Arsenal usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Man City ambayo Jumapili iliifunga 3-0 tena Arsenal katika fainali ya Kombe la Ligi Uwanja wa Wembley, yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 15 na David Silva dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kia EV5 review – could Kia’s latest EV be yet another World Car winner?
-
Think of the EV5 as an all-electric Kia Sportage that sits in Kia’s
ginormous EV line-up alongside the EV3, EV4, EV6 and EV9.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment