Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Kassim Dewji (kushoto) akumueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Zacharia Hans Poppe (kulia )wakati wa mchezo dhidi ya Gendarmerie Tnare ya Djibouti jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0
Mwanzoni mwa mchezo huo Kassim Dewji alionekana kuwa katika majadiliano mazito na Hans Poppe
Na Hans Poppe alionekana kuwa msikivu mno wakati Kassim Dewji anazungumza
Baada ya kumaliza mazunghumzo yao, wote wakaugeukia Uwanja kuendelea kuangalia mechi
Na bahati nzuri kwao, Simba ikaibuka na ushindi wa 4-0 jana
Loading...
0 comments:
Post a Comment