Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Brazil kwa penalti dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Japan Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Lille, Ufaransa jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki. Neymar angefunga mabao mawili kama asingekosa penalti nyingine dakika ya 17 wakati mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Marcelo dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Johnson to hold talks with Palace boss Glasner
-
Brennan Johnson will meet Crystal Palace manager Oliver Glasner on Thursday
before making a final decision on whether to complete a £35m move from
Tottenham.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment