Neymar akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Brazil kwa penalti dakika ya 10 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Japan Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Lille, Ufaransa jioni ya leo kwenye mchezo wa kirafiki. Neymar angefunga mabao mawili kama asingekosa penalti nyingine dakika ya 17 wakati mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Marcelo dakika ya 17 na Gabriel Jesus dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry stuck out on the right flank, no room for Kevin De Bruyne and
two Man United legends... Phil Foden reveals his all-time Premier League XI
to Mail Sport
-
In addition to discussing the title run-in and detailing why he wears the
number 47 , Foden also named an all-time XI that raised more than a few
eyebrows ...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment