Mshambuliaji Raheem Sterling akimchambua kipa Brad Jones wa Feyenoord ya Uholanzi kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 88 Uwanja wa Etihad katika ushindi wa 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na moja kwa moja kuiwezesha timu hiyo ya kocha Pep Guardiola kufuzu hatua ya mtoano kama mshindi wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment