• HABARI MPYA

    Wednesday, November 22, 2017

    RAHEEM STERLING AIVUSHA MTOANO MAN CITY LIGI YA MABINGWA

    Mshambuliaji Raheem Sterling akimchambua kipa Brad Jones wa Feyenoord ya Uholanzi kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 88 Uwanja wa Etihad katika ushindi wa 1-0 usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya na moja kwa moja kuiwezesha timu hiyo ya kocha Pep Guardiola kufuzu hatua ya mtoano kama mshindi wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAHEEM STERLING AIVUSHA MTOANO MAN CITY LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top