• HABARI MPYA

    Thursday, November 30, 2017

    RUDIGER AIFUNGIA BAO PEKEE CHELSEA YAIBWAGA SWANSEA 1-0

    Beki Mjerumani, Antonio Rudiger akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 55 ikiilaza 1-0 Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RUDIGER AIFUNGIA BAO PEKEE CHELSEA YAIBWAGA SWANSEA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top