Fernando Torres akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid mabao mawili dakika za 33 na 68 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Elche kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Jose Gimenez dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment