Fernando Torres akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid mabao mawili dakika za 33 na 68 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Elche kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Jose Gimenez dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment