Mshambuliaji wa Barcelona, Paco Alcacer (kushoto) akishangilia mbele ya beki Gerard Pique baada ya wote kufunga katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Real Murcia kwenye mchezo wa marudiano wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Alcacer alifunga dakika ya 16, Pique 56 na mabao mengine yalifungwa na Aleix Vidal dakika ya 60, Denis Suarez dakika ya 74 na Jose Arnaiz dakika ya 79. Ushindi unamaanisha Barca inatinga 16 Bora kwa ushindi wa jumla wa 8-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mechi ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment