Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kushoto) akikabidhiwa tuzo ya Mfungaji Bora wa Ulaya msimu wa 2016-17 na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez leo baada ya kufunga mabao 37 katika La Liga msimu uliopita, ingawa timu yake ilishika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa, Real Madrid. Hiyo inakuwa mara ya nne Messi kushinda Kiatu cha Dhahabu cha Ulaya, hivyo anafikia rekodi ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment