Nyota wa Argentina, Lionel Messi (kushoto) akikabidhiwa tuzo ya Mfungaji Bora wa Ulaya msimu wa 2016-17 na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Luis Suarez leo baada ya kufunga mabao 37 katika La Liga msimu uliopita, ingawa timu yake ilishika nafasi ya pili nyuma ya mabingwa, Real Madrid. Hiyo inakuwa mara ya nne Messi kushinda Kiatu cha Dhahabu cha Ulaya, hivyo anafikia rekodi ya Cristiano Ronaldo wa Real Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment