• HABARI MPYA

    Thursday, November 30, 2017

    GIROUD APIGA MBILI, LACAZETTE, SANCHEZ 'MOJA MOJA' ARSENAL YASHINDA 5-0 ENGLAND

    Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD APIGA MBILI, LACAZETTE, SANCHEZ 'MOJA MOJA' ARSENAL YASHINDA 5-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top