Olivier Giroud akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 68 na 87 katika ushindi wa 5-0 wa Arsenal dhidi ya Huddersfield Town usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya The Gunners yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya tatu, Alexis Sanchez dakika ya 69 na Mesut Ozil dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
African Games: "We are well-prepared for Senegal"- Ghana U20 coach Desmond
Offei
-
Black Satellites coach, Desmond Offei, insists his team remains focused
ahead of their semi-final clash against Senegal at the African Games. The
Ghana U2...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment