• HABARI MPYA

    Sunday, November 26, 2017

    SALAH AKATAA KUSHANGILIA BAADA YA KUIFUNGA CHELSEA, 1-1 ANFIELD

    Winga wa Liverpool, Mohamed Salah akinyoosha mikono kuashiria hataki kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 65 katika sare ya 1-1 na timu yake ya zamani, Chelsea usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, bao la The Blues likifungwa na Willian dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SALAH AKATAA KUSHANGILIA BAADA YA KUIFUNGA CHELSEA, 1-1 ANFIELD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top