Winga wa Liverpool, Mohamed Salah akinyoosha mikono kuashiria hataki kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 65 katika sare ya 1-1 na timu yake ya zamani, Chelsea usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, bao la The Blues likifungwa na Willian dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment