Winga wa Liverpool, Mohamed Salah akinyoosha mikono kuashiria hataki kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 65 katika sare ya 1-1 na timu yake ya zamani, Chelsea usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, bao la The Blues likifungwa na Willian dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment