Kaimu Rais wa klabu ya Simba, Salim Abdallah 'Try Again' akifuatili mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu yake dhidi ya Lipuli ya Iringa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 1-1. Kulia ni mpenzi na mwanachama wa klabu hiyo, Profesa Juma Othman Kapuya, Waziri wa zamani wa Michezo nchini
Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Said Tuliy akiwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Hajji Manara
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment