Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bukayo Saka launches his own Nando's sauce! Arsenal's star man brings out
the 'PERi-PERi Saka Sauce' with his favourite flavours as he gears up for
England international duty
-
The Arsenal star has teamed up with the restaurant chain to produce the
'PERi-PERi Saka Sauce' with his most-loved flavours.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment