Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment