Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akifumua shuti kuifungia Real Madrid bao la sita dakika ya 54 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya wenyeji, APOEL kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia nchini Cyprus. Ronaldo alifunga mabao mawili, lingine dakika ya 49, wakati mabao mengine ya Real yalifungwa na Luka Modric dakika ya 23, Karim Benzema mawili dakika za 39 na 45 na ushei na Nacho dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment