Raheem Sterling (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 84 ikiilaza Huddersfield Town 2-1 leo Uwanja wa The John Smith, West Yorkshire huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo katika Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 47 baada ya Sterling kuangushwa kwenye boksi, wakati bao la Huddersfield Nicolas Otamendi alijifunga dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment