• HABARI MPYA

    Sunday, November 26, 2017

    MAN CITY YASHINDA MECHI YA 11 MFULULIZO LIGI KUU ENGLAND

    Raheem Sterling (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 84 ikiilaza Huddersfield Town 2-1 leo Uwanja wa The John Smith, West Yorkshire huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo katika Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 47 baada ya Sterling kuangushwa kwenye boksi, wakati bao la Huddersfield Nicolas Otamendi alijifunga dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YASHINDA MECHI YA 11 MFULULIZO LIGI KUU ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top