Kocha Msaidizi wa Lipuli ya Iringa, Suleiman Matola (kulia) akisalimiana na Nahodha wa Simba, Method Mwanjali (kushoto) kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya timu hizo Jumapili Uwanja w Uhuru, Dar es Salaam
Mzimbabwe, Method Mwanjali (kushoto) na Suleiman Matola walisalimiana kama watu ambao wanafahamiana vizuri
Wawili hao wote wamecheza Afrika Kusini, lakini hawakuwhai kukutana uwanjani, kwa sababu Matola alimtangulia Mwanjali
Method Mwanjali hakucheza Jumapili Simba ikilazimishwa sare ya 1-1 na Lipuli |
0 comments:
Post a Comment