• HABARI MPYA

    Friday, November 24, 2017

    GUIRASSY AIFUNGIA BAO PEKEE COLOGNE YAIPIGA 1-0 ARSENAL

    Mshambuliaji kinda wa umri wa miaka 21 wa FC Cologne, Sehrou Guirassy akisujudu kumshukuru Mungu baada ya kuifungia bao pekee timu yake dakika ya 62 kwa penalti katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Arsenal kwenye mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Rhein Energie mjini Cologne, Ujerumani. Arsenal iliingia kwenye mchezo ikiwa tayari imefuzu hatua ya mtoano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUIRASSY AIFUNGIA BAO PEKEE COLOGNE YAIPIGA 1-0 ARSENAL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top