Romelu Lukaku akiwa amemrukia mchezaji mwenzake wa Manchester United, Ashley Young kumpongeza baada ya kufunga bao pekee dakika ya 66 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton and Hove Albion kufuatia shuti lake kumbabatiza Lewis Dunk na kutinga nyavuni Uwanja wa Old Trafford leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment