Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akijifuta usoni kwa masikitiko baada ya timu yake kulazimishwa sare ya 1-1 na Eibar katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Fran Rico alianza kuifungia Eibar dakika ya sita kabla ya Gareth Bale kuwasawazishia wenyeji dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Martinez stars in shootout as Villa reach Euro semis
-
Aston Villa reach their first major European semi-final since 1982 with a
chaotic penalty shootout victory over Lille in the Europa Conference League.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment