Wachezaji wa Celta Vigo wakishangilia ushindi wao wa 4-3 dhidi ya FC Barcelona usiku huu Uwanja wa Balaidos mjini Vigo. katikati yao ni mchezaji wa Barcelona, Neymar. Mabao ya Vigo yamefungwa na Pione Sisto, Iago Aspas, Jeremy Mathieu aliyejifunga na Pablo Hernandez wakati ya Barca yalifungwa na Gerard Pique mawili na Neymar kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City thrash Brighton to go second in table
-
Manchester City move to within one point of Premier League leaders Arsenal
by thrashing Brighton 4-0 at Amex Stadium.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment