Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (katikati) akikimbilia mpira pembeni ya beki wa Simba, Novaty Lufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimuacha chini beki wa Simba, Janvier Besala Bokungu
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke akimtoka mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib
Kipa wa Simba, Vincent Angban akiondosha mpira kwenye hatari mbele ya Tambwe wa Yanga
Winga wa Simba, Shizza Kichuya akiwatoka wachezaji wa Yanga, Thabani Kamusoko na Tambwe
Beki wa Yanga, Kevin Yondan akiwa hewani na mshambuliaji wa Simba, Lausit Mavugo kuwania mpira wa juu
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiwa chini katika harakati za kumdhibiti mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe
Viungo Mbuyu Twite wa Yanga (kulia) na Muzamil Yassin wa Simba kushoto
Viungo Thabani Kamusoko wa Yanga (kulia) na Mwinyi Kazimoto wa Simba (kushoto)
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Simba, Novaty Lufunga
Öffentliches Training am Dienstag in Brackel
-
Am Dienstag, 24. April 2024, ab ca. 10:30 Uhr trainieren Borussia Dortmunds
Profis auf dem Trainingsgelände Hohenbuschei in Brackel öffentlich.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment