• HABARI MPYA

    Sunday, October 02, 2016

    MBWANA SAMATTA NDANI YA LAMINUS ARENA NA BENZI LAKE LA HATARI

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ameegemea gari yake mpya aina ya Mercedez Benz Cla220 Cdi AMG Sport ya mwaka 2016 yenye thamani ya zadi ya Sh. Milioni 130 makao makuu ya klabu yake KRC Genk, Laminus Arena, Genk, Ubelgiji. Thamani ya gari hiyo inaweza kupanda hadi zaidi ya Milioni 200 iwapo ataamua kuileta Tanzania.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBWANA SAMATTA NDANI YA LAMINUS ARENA NA BENZI LAKE LA HATARI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top