• HABARI MPYA

    Sunday, October 02, 2016

    ARSENAL YANG'ARA LIGI KUU ENGLAND, YACHINJA 1-0 UGENINI

    Nyota wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain akikimbia kushangilia baada ya kuifuniga bao la ushindi timu yake dakika ya 90 na ushei Uwanja wa Turf Moor katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni hii ikiwalaza 1-0 wenyeji Burnley PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YANG'ARA LIGI KUU ENGLAND, YACHINJA 1-0 UGENINI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top