Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Stoke City, Bruno Martins Indi (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya 69 kabla ya Joe Allen kuisawazishia Stoke dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside England's 11-day Ashes capitulation: How poor preparation, car crash
TV interviews and mixed messaging have led to humiliation Down Under
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: For all the optimism in advance, this tour was
always going to present a challenge like nothing England have faced under
McCullum.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment