Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Stoke City, Bruno Martins Indi (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya 69 kabla ya Joe Allen kuisawazishia Stoke dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Westfield Bondi Junction: Sydney Roosters and Melbourne Storm pay poignant
tribute to victims of horror attack in first match since six people died at
shopping mall
-
Six people died as a result of a stabbing frenzy by Joel Cauchi at
Westfield Bondi Junction, a shopping mall local to the Roosters football
club.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment