Kocha wa Mchester City, Pep Guardiola akiwa mnyonge baada ya timu yake kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao ya Spurs yamefungwa na Aleksandar Kolarov na Dele Alli, wakati Erik Lamela alikosa penalti iliyookolewa na kipa wa Man City, Claudio Bravo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why The Dolphins were forced to tape over controversial medical marijuana
sponsor logo - and how the plan came unstuck in humid Darwin conditions
-
The Dolphins have covered up their jersey sponsor, Alternaleaf, a clinic
that prescribes medical cannabis, following legal advice while the
Therapeutic Goo...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment