Kiungo wa Slovakia, Marek Hamsik akiweka mikono masikioni kushangilia bao lake zuri katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Urusi kwenye mchezo wa Kundi B Euro 2016 leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Bao lingine la Slovakia lilifungwa na Vladimir Weiss, wakati la Urusi lilifungwa na Denis Glushakov PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beki wa Uswisi, Stephan Lichtsteiner akimvuta jezi Alexandru Chipciu wa Romania kabla ya refa Sergei Karasev wa Urusi kutoa penalti iliyofungwa na Bogan Stancu katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao la Romania lilifungwa na Ahmed Mehmedi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beki wa Uswisi, Stephan Lichtsteiner akimvuta jezi Alexandru Chipciu wa Romania kabla ya refa Sergei Karasev wa Urusi kutoa penalti iliyofungwa na Bogan Stancu katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Bao la Romania lilifungwa na Ahmed Mehmedi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment