Mshambuliaji wa Ufaransa, Dimitri Payet akitimba kibendera cha kona kwa furaha baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 na zaidi usiku wa Jumatano katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi A Euro 2016. Bao la kwanza la Ufaransa lilifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 90 baada ya kuingia dakika ya 68 kuchukua nafasi ya Kingsley Coman PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Andrej Stojaković Linked to UNC, Kentucky in Transfer Portal; Son
of Peja
-
Some of the best men's college basketball programs in the country are
interested in Andrej Stojaković. ESPN's Jeff Borzello reported Wednesday
that the gua...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment