Mshambuliaji wa Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Ureno katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Estonia kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 nchini Ufaransa. Mabao mengine ya Ureno yamefungwa na Ricardo Quaresma mawili, Danilo Pereira, Mets aliyejifunga na Eder 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coaches Shade Brock Bowers: 'Less Explosive' and 'an Expensive Luxury
Item'
-
Georgia tight end Brock Bowers was almost a cheat code in college, but fans
might have to reset their expectations for the 6'3" pass-catcher. The
Athletic's…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment