Mshambuliaji wa Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Ureno katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Estonia kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 nchini Ufaransa. Mabao mengine ya Ureno yamefungwa na Ricardo Quaresma mawili, Danilo Pereira, Mets aliyejifunga na Eder 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ollie Bearman limps away from serious 140mph crash at Japanese Grand Prix -
as Haas provide update on British F1 star
-
JONATHAN McEVOY IN SUZUKA: The incident occurred after the British driver
hurtled towards Spoon Curve like a 10-pin bowling ball.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment