Mshambuliaji Clint Dempsey akikimbia kishujaa kufurahia bao lake pekee aliloifungia Marekani ikiilaza 1-0 Paraguay Alfajiri ya leo katika mchezo wa Copa America Uwanja wa Lincoln Financial Field mjini Philadelphia, Pennsylvania, Marekani na kukata tiketi ya Robo Fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UNESCO yafunga mafuzo ya Mafundi Mitambo wa Radio za jamii 25
-
*Kaimu Mkuu wa Ofisi za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia
Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Faith Shayo akizungumza kuhusu
UNESCO i...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment