Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Sunday Manara akitaja viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wao wa jadi, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini. Wengine kulia ni Mtendaji Mkuu wa klabu, Senzo Mbatha na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki, Hashim Mbaga na viingilio ni Sh. 30,000 VIP, Sh. 20,000 VIP B na C na Sh. 7000 kwa mzunguko
Chicago Bears fans turn on Caleb Williams for enjoying night out at hockey
game after NFL playoff loss
-
Williams and Ben Johnson's Bears were dumped out of playoff contention by
the Los Angeles Rams in a 20-17 overtime thriller at Soldier Field.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment