• HABARI MPYA

    Monday, October 14, 2019

    NEYMAR AUMIA TENA BRAZIL IKITOA SARE YA 1-1 NA NIGERIA SINGAPORE

    Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1,  Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AUMIA TENA BRAZIL IKITOA SARE YA 1-1 NA NIGERIA SINGAPORE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top