Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment