Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves: Pedro Neto to MISS Euro 2020 as he prepares for knee surgery
-
Pedro Neto suffered a 'significant injury' to his knee cap in the 1-0 win
at Fulham last Friday night that means he will not play again until the
initial p...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment