Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Complete 2024 NBA Playoff Bracket Predictions and Key Player Matchups
-
With the 2023-24 NBA regular season and play-in tournament complete, the
real fireworks can begin. The 2024 playoffs offer a collection of both
young teams…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment