Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 44 kufuatia Kevin De Bruyne kufunga la kwanza dakika ya sita ikiilaza 2-0 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Manchester City inafikisha pointi 80 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool inayofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment