Leroy Sane akishangilia na Gabriel Jesus baada ya kuifungiaa mabao mawili Manchester City dakika za 45 na ushei na 61 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Hoffenheim usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Ethad. Bao pekee la Hoffenheim lilifungwa na Andrej Kramaric kwa penalti dakika ya 16 na Man City imemaliza na pointi 13 kileleni mwa kundi ikifuatiwan na Lyon ya Ufaransa yenye pointi nane na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Banished Chelsea star returns to first team training under Liam Rosenior
after almost a year in exile, leaving £325,000-a-week outcast Raheem
Sterling as last member of club's 'bomb squad'
-
KIERAN GILL: Disasi had been working separately under Rosenior's
predecessor Enzo Maresca, with Tuesday marking exactly a year since the
27-year-old last a...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment