• HABARI MPYA

    Sunday, December 16, 2018

    SHAQIRI APIGA MBILI 'FASTA' LIVERPOOL YAILAZA MAN UNITED 3-1

    Xherdan Shaqiri akishangilia kibosi baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 73 na 80 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool inayofikisha pointi 45 na kupanda kileleni ikiizidi kwa pointi moja Manchester City, limefungwa na Sadio Mane dakika ya 24, wakati la Man United limefungwa na Jesse Lingard dakika ya 33 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHAQIRI APIGA MBILI 'FASTA' LIVERPOOL YAILAZA MAN UNITED 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top