• HABARI MPYA

    Saturday, December 15, 2018

    JESUS AFUNGA MAWILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 3-1 ETIHAD

    Gabriel Jesus akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 22 na 50 mara zote akipasiwa na  Leroy Sane katika ushindi wa 3-1 wa Manchester City dhidi ya Everton leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 69, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 65 na sasa timu ya kocha Pep Guardiola inafikisha pointi 44 katika mechi ya 17 ikiwazidi pointi mbili Liverpool walio nafasi ya pili wakiwa wamecheza mechi 16 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JESUS AFUNGA MAWILI MAN CITY YAICHAPA EVERTON 3-1 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top