Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment