Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 45 na ushei, likiwa bao lake la 100 tangu ajiunge na klabu hiyo, kabla ya kufunga na la pili dakika ya 58 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Watford ambao bao lilifungwa na Roberto Pereyra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Vicarage Road PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Jones 'Certainly Could' Get Franchise Tag Ahead of FA, Packers GM Says
-
The Green Bay Packers aren't ruling out the possibility of using the
franchise tag on Aaron Jones . Per Olivia Reiner of the Milwaukee Journal
Sentinel , g...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment