• HABARI MPYA

    Monday, December 24, 2018

    SIMBA SC NA NKANA FC KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JANA

    Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akimuacha chini kiungo wa Nkana FC, Harrison Chisala katika mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1
    Clatous Chama akitoa pasi mbele ya Shadrack Malambo wa Nkana FC. Simba imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Zambia 
    Beki Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan akipasua katikati ya wachezaji wa Nkana FC
    Beki Mkenya wa Nkana FC, Duncan Otieno akiondoka na mpira dhidi ya mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi
    Kocha Mbelgiji wa Simba, Patrick J Aussems akiwa amembeba mchezaji wake Shiza Kichuya
    Kocha Patrick Aussems akiwa amekumbatia mfungaji wa bao la tatu, Clatous Chama
    Kikosi cha Simba SC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 
    Kikosi cha Nkana FC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 
    Mashabiki wa Simba SC katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA NKANA FC KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top