SIMBA SC NA NKANA FC KATIKA PICHA UWANJA WA TAIFA JANA
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama akimuacha chini kiungo wa Nkana FC, Harrison Chisala katika mchezo wa marudiano hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-1
Clatous Chama akitoa pasi mbele ya Shadrack Malambo wa Nkana FC. Simba imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Zambia
Beki Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan akipasua katikati ya wachezaji wa Nkana FC
Beki Mkenya wa Nkana FC, Duncan Otieno akiondoka na mpira dhidi ya mshambuliaji Mganda wa Simba, Emmanuel Okwi
Kocha Mbelgiji wa Simba, Patrick J Aussems akiwa amembeba mchezaji wake Shiza Kichuya
Kocha Patrick Aussems akiwa amekumbatia mfungaji wa bao la tatu, Clatous Chama
Kikosi cha Simba SC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Kikosi cha Nkana FC kabla ya kuanza kwa mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mashabiki wa Simba SC katika mchezo wa jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
SolaX Power wird Partner von Borussia Dortmund
-
SolaX Power ist neuer Partner von Borussia Dortmund. Erstmals arbeitet der
BVB mit einem PV-Energiespeicherunternehmen zusammen. Diese internationale
Koope...
Young Gun: Nathan Butler-Oyedeji
-
We catch up with a member of our under-21s squad, Nathan Butler-Oyedeji,
who discusses growing up in East London and more
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment