Baadhi ya wachezaji wa Pilsner FC ya Dar es Salaam, iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyomaliza nafasi ya pili kwenye Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1989, nyuma ya Yanga SC waliobuka mabingwa. Kutoka kulia Charles Msami (marehemu), Abdallah Suleiman ‘Kaburu’, Frank Muhando, Athanas Michael, Suleiman Mkati, Andrew Godwin, Rajab Rashid ‘Double R’ (marehemu) na Abdallah Sumbwa (marehemu).
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment