Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Fulham - Premier League: Live score, lineups and updates
-
Liverpool suffered their worst losing run at home in their history after a
1-0 loss to Chelsea last time out - suffering five defeats in a row - and
will b...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment