Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The FUFA Drum Final 2023: Tickets out, Fans to purchase using MoMo Pay
-
MTN Uganda—a sponsor of the FUFA Drum have confirmed that the match tickets
for the FUFA Drum Final between Busoga and Lango on Saturday 23rd March
2024 ...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment