Mshambuliaji wa Chelsea, Edin Hazard akimtoka Nampalys Mendy wa Leicester City leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Leicester City imeshinda 1-0 pekee la Jamie Vardy dakika ya 51 na kwa ushindi huo inafikisha pointi 25 baada ya kucheza mechi 18 ikipanda kutoka nafasi ya 13 hadi ya tisa, wakati Chelsea inayobaki na pointi zake 37 za mechi inaendelea kushika nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's Ethan Nwaneri in talks for Ligue 1 loan move, Chelsea join PSG in
race for Julian Alvarez - and Kobbie Mainoo makes Man United U-turn:
TRANSFER WINDOW WATCH
-
The transfer window is open and here are today's developments from Daily
Mail Sport's SIMON JONES, including Chelsea's interest in former Man City
man Juli...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment