Kiungo chipukizi wa England, Jadon Sancho wa Borussia Dortmund (kushoto) akimtoka mshambuliaji wa Borussia Monchengladbach, Thorgan Hazard jana katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Borussia Dortmund ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Sancho dakika ya 42 na Marco Reus dakika ya 54, wakati la Monchengladbach lilifungwa na Christoph Kramer dakika ya 45 na ushei. Kwa ushindi huo, Dortmund wanaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi tisa zaidi, 42 kwa 33 dhidi ya Monchengladbach PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment