Kiungo chipukizi wa England, Jadon Sancho wa Borussia Dortmund (kushoto) akimtoka mshambuliaji wa Borussia Monchengladbach, Thorgan Hazard jana katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Borussia Dortmund ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Sancho dakika ya 42 na Marco Reus dakika ya 54, wakati la Monchengladbach lilifungwa na Christoph Kramer dakika ya 45 na ushei. Kwa ushindi huo, Dortmund wanaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi tisa zaidi, 42 kwa 33 dhidi ya Monchengladbach PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment