• HABARI MPYA

    Thursday, December 20, 2018

    BALE ALIPOIPELEKA REAL MADRID FAINALI KOMBE LA DUNIA

    Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Real Madrid dakika za 44, 53 na 55 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Kashima Antlers ya Japan jana kwenye Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu.
    Bao pekee la Kashima Antlers lilifungwa na Shoma Doi dakika ya 78 na sasa katika Fainali Jumamosi Real Madrid na itakutana na wenyeji, Al Ain walioitoa River Plate ya Argentina kwa penalti 5-4 baada ya sare ya 2-2 GONGA HAPA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALE ALIPOIPELEKA REAL MADRID FAINALI KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top