• HABARI MPYA

    Thursday, November 01, 2018

    SON HEUNG-MIN AFUNGA MAWILI, SPURS KUIVAA ARSENAL ROBO FAINALI

    Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SON HEUNG-MIN AFUNGA MAWILI, SPURS KUIVAA ARSENAL ROBO FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top